Taha · 19/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
قَالَ أَلْقِهَا يَا مُوسَىٰ ۝١٩
Qaala alqihaa yaa Moosaa
📖 Kwa Kiswahili
Akasema: Itupe, ewe Musa!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 17-21 — Taha

17وَمَا تِلْكَ بِيَمِينِكَ يَا مُوسَىٰ
Na nini hicho kilichomo mkononi mwako wa kulia, ewe Musa?
18قَالَ هِيَ عَصَايَ أَتَوَكَّأُ عَلَيْهَا وَأَهُشُّ بِهَا عَلَىٰ غَنَمِي وَلِيَ فِيهَا مَآرِبُ أُخْرَىٰ
Akasema: Hii ni fimbo yangu; naiegemea na ninawaangushia majani kondoo na mbuzi wangu. Tena inanifaa kwa matumizi mengine.
19قَالَ أَلْقِهَا يَا مُوسَىٰ
Akasema: Itupe, ewe Musa!
20فَأَلْقَاهَا فَإِذَا هِيَ حَيَّةٌ تَسْعَىٰ
Akaitupa. Mara ikawa nyoka anaye kwenda mbio.
21قَالَ خُذْهَا وَلَا تَخَفْ ۖ سَنُعِيدُهَا سِيرَتَهَا الْأُولَىٰ
Akasema: Ikamate, wala usiogope! Tutairudisha hali yake ya kwanza.
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
19Aya

Tafsiri — Taha 19

Sura Taha Aya 19 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akasema: Itupe, ewe Musa!

Sura Aya 19/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 17–21. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema