Al-Anbiya · 14/112
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Anbiya
قَالُوا يَا وَيْلَنَا إِنَّا كُنَّا ظَالِمِينَ ۝١٤
Qaaloo yaa wailanaaa innaa kunnaa zaalimeen
📖 Kwa Kiswahili
Wakasema: Ole wetu! Hakika sisi tulikuwa madhaalimu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 12-16 — Al-Anbiya

12فَلَمَّا أَحَسُّوا بَأْسَنَا إِذَا هُم مِّنْهَا يَرْكُضُونَ
Basi walipo ihisi adhabu yetu, mara wakaanza kukimbia.
13لَا تَرْكُضُوا وَارْجِعُوا إِلَىٰ مَا أُتْرِفْتُمْ فِيهِ وَمَسَاكِنِكُمْ لَعَلَّكُمْ تُسْأَلُونَ
Msikimbie! Na rejeeni kwenye zile zile starehe zenu, na maskani zenu, mpate kusailiwa!
14قَالُوا يَا وَيْلَنَا إِنَّا كُنَّا ظَالِمِينَ
Wakasema: Ole wetu! Hakika sisi tulikuwa madhaalimu.
15فَمَا زَالَت تِّلْكَ دَعْوَاهُمْ حَتَّىٰ جَعَلْنَاهُمْ حَصِيدًا خَامِدِينَ
Hakikuacha hicho kuwa kilio chao mpaka tukawafanya kama walio fyekwa, wamezimika.
16وَمَا خَلَقْنَا السَّمَاءَ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا لَاعِبِينَ
Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyo baina yao kwa mchezo.
Al-AnbiyaFaharasa ya Qurani
112Aya
MakkaRevelation
14Aya

Tafsiri — Al-Anbiya 14

Sura Al-Anbiya Aya 14 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakasema: Ole wetu! Hakika sisi tulikuwa madhaalimu.

Sura Aya 14/112 — Al-Anbiya الأنبياء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Anbiya Sikiliza, Al-Anbiya Tafsiri, Al-Anbiya mp3, Al-Anbiya pdf. Aya 12–16. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema