Al-Mu'minun · 16/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
ثُمَّ إِنَّكُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ تُبْعَثُونَ ۝١٦
Summa innakum Yawmal Qiyaamati tub`asoon
📖 Kwa Kiswahili
Kisha hakika nyinyi Siku ya Kiyama mtafufuliwa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 14-18 — Al-Mu'minun

14ثُمَّ خَلَقْنَا النُّطْفَةَ عَلَقَةً فَخَلَقْنَا الْعَلَقَةَ مُضْغَةً فَخَلَقْنَا الْمُضْغَةَ عِظَامًا فَكَسَوْنَا الْعِظَامَ لَحْمًا ثُمَّ أَنشَأْنَاهُ خَلْقًا آخَرَ ۚ فَتَبَارَكَ اللَّهُ أَحْسَنُ الْخَالِقِينَ
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.
15ثُمَّ إِنَّكُم بَعْدَ ذَٰلِكَ لَمَيِّتُونَ
Kisha hakika nyinyi baada ya hayo mtakufa.
16ثُمَّ إِنَّكُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ تُبْعَثُونَ
Kisha hakika nyinyi Siku ya Kiyama mtafufuliwa.
17وَلَقَدْ خَلَقْنَا فَوْقَكُمْ سَبْعَ طَرَائِقَ وَمَا كُنَّا عَنِ الْخَلْقِ غَافِلِينَ
Na kwa yakini tumeziumba juu yenu njia saba. Nasi hatukuwa wenye kughafilika na viumbe.
18وَأَنزَلْنَا مِنَ السَّمَاءِ مَاءً بِقَدَرٍ فَأَسْكَنَّاهُ فِي الْأَرْضِ ۖ وَإِنَّا عَلَىٰ ذَهَابٍ بِهِ لَقَادِرُونَ
Na tumeteremsha kutoka mbinguni maji kwa kiasi na tukayatuliza katika ardhi. Na hakika Sisi tunaweza kuyaondoa.
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
16Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 16

Sura Al-Mu'minun Aya 16 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha hakika nyinyi Siku ya Kiyama mtafufuliwa.

Sura Aya 16/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 14–18. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema