Ash-Shu'ara · 202/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
فَيَأْتِيَهُم بَغْتَةً وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ ۝٢٠٢
Fayaatiyahum baghtatanw wa hum laa yash`uroon
📖 Kwa Kiswahili
Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 200-204 — Ash-Shu'ara

200كَذَٰلِكَ سَلَكْنَاهُ فِي قُلُوبِ الْمُجْرِمِينَ
Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu.
201لَا يُؤْمِنُونَ بِهِ حَتَّىٰ يَرَوُا الْعَذَابَ الْأَلِيمَ
Hawataiamini mpaka waione adhabu chungu.
202فَيَأْتِيَهُم بَغْتَةً وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ
Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari.
203فَيَقُولُوا هَلْ نَحْنُ مُنظَرُونَ
Na watasema: Je, tutapewa muhula?
204أَفَبِعَذَابِنَا يَسْتَعْجِلُونَ
Basi, je, wanaihimiza adhabu yetu?
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
202Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 202

Sura Ash-Shu'ara Aya 202 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari.

Sura Aya 202/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 200–204. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema