Ash-Shu'ara · 201/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
لَا يُؤْمِنُونَ بِهِ حَتَّىٰ يَرَوُا الْعَذَابَ الْأَلِيمَ ۝٢٠١
Laa yu`minoona bihee hattaa yarawul `azaabal aleem
📖 Kwa Kiswahili
Hawataiamini mpaka waione adhabu chungu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 199-203 — Ash-Shu'ara

199فَقَرَأَهُ عَلَيْهِم مَّا كَانُوا بِهِ مُؤْمِنِينَ
Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.
200كَذَٰلِكَ سَلَكْنَاهُ فِي قُلُوبِ الْمُجْرِمِينَ
Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu.
201لَا يُؤْمِنُونَ بِهِ حَتَّىٰ يَرَوُا الْعَذَابَ الْأَلِيمَ
Hawataiamini mpaka waione adhabu chungu.
202فَيَأْتِيَهُم بَغْتَةً وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ
Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari.
203فَيَقُولُوا هَلْ نَحْنُ مُنظَرُونَ
Na watasema: Je, tutapewa muhula?
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
201Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 201

Sura Ash-Shu'ara Aya 201 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hawataiamini mpaka waione adhabu chungu.

Sura Aya 201/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 199–203. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema