As-Saffat · 177/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
فَإِذَا نَزَلَ بِسَاحَتِهِمْ فَسَاءَ صَبَاحُ الْمُنذَرِينَ ۝١٧٧
Fa izaa nazala bisaahatihim fasaaa`a sabaahul munzareen
📖 Kwa Kiswahili
Basi itakapo shuka uwanjani kwao, itakuwa asubuhi mbaya kwa walio onywa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 175-179 — As-Saffat

175وَأَبْصِرْهُمْ فَسَوْفَ يُبْصِرُونَ
Na watazame, nao wataona.
176أَفَبِعَذَابِنَا يَسْتَعْجِلُونَ
Je! Wanaihimiza adhabu yetu?
177فَإِذَا نَزَلَ بِسَاحَتِهِمْ فَسَاءَ صَبَاحُ الْمُنذَرِينَ
Basi itakapo shuka uwanjani kwao, itakuwa asubuhi mbaya kwa walio onywa.
178وَتَوَلَّ عَنْهُمْ حَتَّىٰ حِينٍ
Na waache kwa muda.
179وَأَبْصِرْ فَسَوْفَ يُبْصِرُونَ
Na tazama, na wao wataona.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
177Aya

Tafsiri — As-Saffat 177

Sura As-Saffat Aya 177 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi itakapo shuka uwanjani kwao, itakuwa asubuhi mbaya kwa walio…

Sura Aya 177/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 175–179. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema