As-Saffat · 176/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
أَفَبِعَذَابِنَا يَسْتَعْجِلُونَ ۝١٧٦
Afabi`azaabinaa yasta`jiloon
📖 Kwa Kiswahili
Je! Wanaihimiza adhabu yetu?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 174-178 — As-Saffat

174فَتَوَلَّ عَنْهُمْ حَتَّىٰ حِينٍ
Basi waachilie mbali kwa muda.
175وَأَبْصِرْهُمْ فَسَوْفَ يُبْصِرُونَ
Na watazame, nao wataona.
176أَفَبِعَذَابِنَا يَسْتَعْجِلُونَ
Je! Wanaihimiza adhabu yetu?
177فَإِذَا نَزَلَ بِسَاحَتِهِمْ فَسَاءَ صَبَاحُ الْمُنذَرِينَ
Basi itakapo shuka uwanjani kwao, itakuwa asubuhi mbaya kwa walio onywa.
178وَتَوَلَّ عَنْهُمْ حَتَّىٰ حِينٍ
Na waache kwa muda.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
176Aya

Tafsiri — As-Saffat 176

Sura As-Saffat Aya 176 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Je! Wanaihimiza adhabu yetu?

Sura Aya 176/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 174–178. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema