As-Saffat · 40/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
إِلَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ ۝٤٠
Illaa `ibaadal laahil mukhlaseen
📖 Kwa Kiswahili
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 38-42 — As-Saffat

38إِنَّكُمْ لَذَائِقُو الْعَذَابِ الْأَلِيمِ
Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.
39وَمَا تُجْزَوْنَ إِلَّا مَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ
Wala hamlipwi ila hayo mliyo kuwa mkiyafanya.
40إِلَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
41أُولَٰئِكَ لَهُمْ رِزْقٌ مَّعْلُومٌ
Hao ndio watakao pata riziki maalumu,
42فَوَاكِهُ ۖ وَهُم مُّكْرَمُونَ
Matunda, nao watahishimiwa.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
40Aya

Tafsiri — As-Saffat 40

Sura As-Saffat Aya 40 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.

Sura Aya 40/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 38–42. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema