As-Saffat · 41/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
أُولَٰئِكَ لَهُمْ رِزْقٌ مَّعْلُومٌ ۝٤١
Ulaaa`ika lahum rizqum ma`loom
📖 Kwa Kiswahili
Hao ndio watakao pata riziki maalumu,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 39-43 — As-Saffat

39وَمَا تُجْزَوْنَ إِلَّا مَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ
Wala hamlipwi ila hayo mliyo kuwa mkiyafanya.
40إِلَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
41أُولَٰئِكَ لَهُمْ رِزْقٌ مَّعْلُومٌ
Hao ndio watakao pata riziki maalumu,
42فَوَاكِهُ ۖ وَهُم مُّكْرَمُونَ
Matunda, nao watahishimiwa.
43فِي جَنَّاتِ النَّعِيمِ
Katika Bustani za neema.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
41Aya

Tafsiri — As-Saffat 41

Sura As-Saffat Aya 41 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hao ndio watakao pata riziki maalumu,

Sura Aya 41/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 39–43. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema