As-Saffat · 50/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
فَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَسَاءَلُونَ ۝٥٠
Fa aqbala ba`duhum `alaa badiny yatasaaa `aloon
📖 Kwa Kiswahili
Waingie kuulizana wenyewe kwa wenyewe.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 48-52 — As-Saffat

48وَعِندَهُمْ قَاصِرَاتُ الطَّرْفِ عِينٌ
Na watakuwa nao wanawake wenye macho ya staha mazuri.
49كَأَنَّهُنَّ بَيْضٌ مَّكْنُونٌ
Hao wanawake kama mayai yaliyo hifadhika.
50فَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَسَاءَلُونَ
Waingie kuulizana wenyewe kwa wenyewe.
51قَالَ قَائِلٌ مِّنْهُمْ إِنِّي كَانَ لِي قَرِينٌ
Aseme msemaji mmoja miongoni mwao: Hakika mimi nalikuwa na rafiki
52يَقُولُ أَإِنَّكَ لَمِنَ الْمُصَدِّقِينَ
Aliye kuwa akinambia: Hivyo wewe ni katika wanao sadiki
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
50Aya

Tafsiri — As-Saffat 50

Sura As-Saffat Aya 50 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Waingie kuulizana wenyewe kwa wenyewe.

Sura Aya 50/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 48–52. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema