Az-Zukhruf · 76/89
Tafsiri Uandishi wa sauti — Az-Zukhruf
وَمَا ظَلَمْنَاهُمْ وَلَٰكِن كَانُوا هُمُ الظَّالِمِينَ ۝٧٦
Wa maa zalamnaahum wa laakin kaanoo humuz zaalimeen
📖 Kwa Kiswahili
Wala Sisi hatukuwadhulumu, bali wao ndio walio kuwa madhaalimu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 74-78 — Az-Zukhruf

74إِنَّ الْمُجْرِمِينَ فِي عَذَابِ جَهَنَّمَ خَالِدُونَ
Kwa hakika wakosefu watakaa katika adhabu ya Jahannamu.
75لَا يُفَتَّرُ عَنْهُمْ وَهُمْ فِيهِ مُبْلِسُونَ
Hawatapumzishwa nayo na humo watakata tamaa.
76وَمَا ظَلَمْنَاهُمْ وَلَٰكِن كَانُوا هُمُ الظَّالِمِينَ
Wala Sisi hatukuwadhulumu, bali wao ndio walio kuwa madhaalimu.
77وَنَادَوْا يَا مَالِكُ لِيَقْضِ عَلَيْنَا رَبُّكَ ۖ قَالَ إِنَّكُم مَّاكِثُونَ
Nao watapiga kelele waseme: Ewe Malik! Na atufishe Mola wako Mlezi! Naye aseme: Hakika nyinyi mtakaa humo humo!
78لَقَدْ جِئْنَاكُم بِالْحَقِّ وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَكُمْ لِلْحَقِّ كَارِهُونَ
Kwa yakini tulikuleteeni Haki, lakini wengi katika nyinyi mlikuwa mnaichukia Haki.
Az-ZukhrufFaharasa ya Qurani
89Aya
MakkaRevelation
76Aya

Tafsiri — Az-Zukhruf 76

Sura Az-Zukhruf Aya 76 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala Sisi hatukuwadhulumu, bali wao ndio walio kuwa madhaalimu.

Sura Aya 76/89 — Az-Zukhruf الزخرف (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Az-Zukhruf Sikiliza, Az-Zukhruf Tafsiri, Az-Zukhruf mp3, Az-Zukhruf pdf. Aya 74–78. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema