Ad-Dukhan · 23/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
فَأَسْرِ بِعِبَادِي لَيْلًا إِنَّكُم مُّتَّبَعُونَ ۝٢٣
Fa asri bi`ibaadee lailan innakum muttaba`oon
📖 Kwa Kiswahili
Mwenyezi Mungu akasema: Basi nenda na waja wangu usiku. Kwa yakini mtafuatwa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 21-25 — Ad-Dukhan

21وَإِن لَّمْ تُؤْمِنُوا لِي فَاعْتَزِلُونِ
Na ikiwa hamniamini, basi jitengeni nami.
22فَدَعَا رَبَّهُ أَنَّ هَٰؤُلَاءِ قَوْمٌ مُّجْرِمُونَ
Ndipo akamwomba Mola wake Mlezi: Hakika watu hawa ni wakosefu.
23فَأَسْرِ بِعِبَادِي لَيْلًا إِنَّكُم مُّتَّبَعُونَ
Mwenyezi Mungu akasema: Basi nenda na waja wangu usiku. Kwa yakini mtafuatwa.
24وَاتْرُكِ الْبَحْرَ رَهْوًا ۖ إِنَّهُمْ جُندٌ مُّغْرَقُونَ
Na iache bahari vivyo hivyo imeachana, hakika wao hao ni jeshi litakalo zamishwa.
25كَمْ تَرَكُوا مِن جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Mabustani mangapi, na chemchem ngapi waliziacha!
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
23Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 23

Sura Ad-Dukhan Aya 23 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Mwenyezi Mungu akasema: Basi nenda na waja wangu usiku. Kwa…

Sura Aya 23/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 21–25. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema