Ad-Dukhan · 51/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي مَقَامٍ أَمِينٍ ۝٥١
Innal muttaqeena fee maqaamin ameen
📖 Kwa Kiswahili
Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 49-53 — Ad-Dukhan

49ذُقْ إِنَّكَ أَنتَ الْعَزِيزُ الْكَرِيمُ
Onja! Ati wewe ndiye mwenye nguvu, mtukufu!
50إِنَّ هَٰذَا مَا كُنتُم بِهِ تَمْتَرُونَ
Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka.
51إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي مَقَامٍ أَمِينٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani,
52فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Katika mabustani na chemchem,
53يَلْبَسُونَ مِن سُندُسٍ وَإِسْتَبْرَقٍ مُّتَقَابِلِينَ
Watavaa hariri nyepesi na hariri nzito wakikabiliana,
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
51Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 51

Sura Ad-Dukhan Aya 51 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani,

Sura Aya 51/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 49–53. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema