Ad-Dukhan · 50/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
إِنَّ هَٰذَا مَا كُنتُم بِهِ تَمْتَرُونَ ۝٥٠
Inna haazaa maa kuntum bihee tamtaroon
📖 Kwa Kiswahili
Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 48-52 — Ad-Dukhan

48ثُمَّ صُبُّوا فَوْقَ رَأْسِهِ مِنْ عَذَابِ الْحَمِيمِ
Kisha mmwagieni juu ya kichwa chake adhabu ya maji yanayo chemka.
49ذُقْ إِنَّكَ أَنتَ الْعَزِيزُ الْكَرِيمُ
Onja! Ati wewe ndiye mwenye nguvu, mtukufu!
50إِنَّ هَٰذَا مَا كُنتُم بِهِ تَمْتَرُونَ
Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka.
51إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي مَقَامٍ أَمِينٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani,
52فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Katika mabustani na chemchem,
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
50Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 50

Sura Ad-Dukhan Aya 50 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka.

Sura Aya 50/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 48–52. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema