Adh-Dhariyat · 18/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
وَبِالْأَسْحَارِ هُمْ يَسْتَغْفِرُونَ ۝١٨
Wa bilashaari hum yastaghfiroon
📖 Kwa Kiswahili
Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 16-20 — Adh-Dhariyat

16آخِذِينَ مَا آتَاهُمْ رَبُّهُمْ ۚ إِنَّهُمْ كَانُوا قَبْلَ ذَٰلِكَ مُحْسِنِينَ
Wanapokea aliyo wapa Mola wao Mlezi. Kwa hakika hao walikuwa kabla ya haya wakifanya mema.
17كَانُوا قَلِيلًا مِّنَ اللَّيْلِ مَا يَهْجَعُونَ
Walikuwa wakilala kidogo tu usiku.
18وَبِالْأَسْحَارِ هُمْ يَسْتَغْفِرُونَ
Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira.
19وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
20وَفِي الْأَرْضِ آيَاتٌ لِّلْمُوقِنِينَ
Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
18Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 18

Sura Adh-Dhariyat Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira.

Sura Aya 18/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 16–20. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema