Adh-Dhariyat · 17/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
كَانُوا قَلِيلًا مِّنَ اللَّيْلِ مَا يَهْجَعُونَ ۝١٧
kaanoo qaleelam minal laili maa yahja`oon
📖 Kwa Kiswahili
Walikuwa wakilala kidogo tu usiku.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 15-19 — Adh-Dhariyat

15إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
16آخِذِينَ مَا آتَاهُمْ رَبُّهُمْ ۚ إِنَّهُمْ كَانُوا قَبْلَ ذَٰلِكَ مُحْسِنِينَ
Wanapokea aliyo wapa Mola wao Mlezi. Kwa hakika hao walikuwa kabla ya haya wakifanya mema.
17كَانُوا قَلِيلًا مِّنَ اللَّيْلِ مَا يَهْجَعُونَ
Walikuwa wakilala kidogo tu usiku.
18وَبِالْأَسْحَارِ هُمْ يَسْتَغْفِرُونَ
Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira.
19وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
17Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 17

Sura Adh-Dhariyat Aya 17 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Walikuwa wakilala kidogo tu usiku.

Sura Aya 17/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 15–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema