An-Najm · 50/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
وَأَنَّهُ أَهْلَكَ عَادًا الْأُولَىٰ ۝٥٠
Wa annahooo ahlak a `Aadanil oolaa
📖 Kwa Kiswahili
Na kwamba Yeye ndiye aliye waangamiza A'di wa kwanza,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 48-52 — An-Najm

48وَأَنَّهُ هُوَ أَغْنَىٰ وَأَقْنَىٰ
Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.
49وَأَنَّهُ هُوَ رَبُّ الشِّعْرَىٰ
Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shii'ra.
50وَأَنَّهُ أَهْلَكَ عَادًا الْأُولَىٰ
Na kwamba Yeye ndiye aliye waangamiza A'di wa kwanza,
51وَثَمُودَ فَمَا أَبْقَىٰ
Na Thamudi hakuwabakisha,
52وَقَوْمَ نُوحٍ مِّن قَبْلُ ۖ إِنَّهُمْ كَانُوا هُمْ أَظْلَمَ وَأَطْغَىٰ
Na kabla yao kaumu ya Nuhu. Na hao hakika walikuwa ni madhaalimu zaidi, na waovu zaidi;
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
50Aya

Tafsiri — An-Najm 50

Sura An-Najm Aya 50 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kwamba Yeye ndiye aliye waangamiza A'di wa kwanza,

Sura Aya 50/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 48–52. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema