An-Najm · 51/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
وَثَمُودَ فَمَا أَبْقَىٰ ۝٥١
Wa samooda famaaa abqaa
📖 Kwa Kiswahili
Na Thamudi hakuwabakisha,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 49-53 — An-Najm

49وَأَنَّهُ هُوَ رَبُّ الشِّعْرَىٰ
Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shii'ra.
50وَأَنَّهُ أَهْلَكَ عَادًا الْأُولَىٰ
Na kwamba Yeye ndiye aliye waangamiza A'di wa kwanza,
51وَثَمُودَ فَمَا أَبْقَىٰ
Na Thamudi hakuwabakisha,
52وَقَوْمَ نُوحٍ مِّن قَبْلُ ۖ إِنَّهُمْ كَانُوا هُمْ أَظْلَمَ وَأَطْغَىٰ
Na kabla yao kaumu ya Nuhu. Na hao hakika walikuwa ni madhaalimu zaidi, na waovu zaidi;
53وَالْمُؤْتَفِكَةَ أَهْوَىٰ
Na miji iliyo pinduliwa, ni Yeye aliye ipindua.
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
51Aya

Tafsiri — An-Najm 51

Sura An-Najm Aya 51 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na Thamudi hakuwabakisha,

Sura Aya 51/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 49–53. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema