An-Najm · 49/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
وَأَنَّهُ هُوَ رَبُّ الشِّعْرَىٰ ۝٤٩
Wa annahoo huwa rabbush shi`raa
📖 Kwa Kiswahili
Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shii'ra.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 47-51 — An-Najm

47وَأَنَّ عَلَيْهِ النَّشْأَةَ الْأُخْرَىٰ
Na kwamba ni juu yake ufufuo mwengine.
48وَأَنَّهُ هُوَ أَغْنَىٰ وَأَقْنَىٰ
Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.
49وَأَنَّهُ هُوَ رَبُّ الشِّعْرَىٰ
Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shii'ra.
50وَأَنَّهُ أَهْلَكَ عَادًا الْأُولَىٰ
Na kwamba Yeye ndiye aliye waangamiza A'di wa kwanza,
51وَثَمُودَ فَمَا أَبْقَىٰ
Na Thamudi hakuwabakisha,
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
49Aya

Tafsiri — An-Najm 49

Sura An-Najm Aya 49 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya…

Sura Aya 49/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 47–51. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema