An-Najm · 8/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
ثُمَّ دَنَا فَتَدَلَّىٰ ۝٨
Summa danaa fatadalla
📖 Kwa Kiswahili
Kisha akakaribia na akateremka.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 6-10 — An-Najm

6ذُو مِرَّةٍ فَاسْتَوَىٰ
Mwenye kutua, akatulia,
7وَهُوَ بِالْأُفُقِ الْأَعْلَىٰ
Naye yuko juu kabisa upeo wa macho.
8ثُمَّ دَنَا فَتَدَلَّىٰ
Kisha akakaribia na akateremka.
9فَكَانَ قَابَ قَوْسَيْنِ أَوْ أَدْنَىٰ
Akawa ni kama baina ya mipinde miwili, au karibu zaidi.
10فَأَوْحَىٰ إِلَىٰ عَبْدِهِ مَا أَوْحَىٰ
Akamfunulia mja wake (Mwenyezi Mungu) alicho mfunulia.
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
8Aya

Tafsiri — An-Najm 8

Sura An-Najm Aya 8 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha akakaribia na akateremka.

Sura Aya 8/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 6–10. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema