Al-Qamar · 3/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
وَكَذَّبُوا وَاتَّبَعُوا أَهْوَاءَهُمْ ۚ وَكُلُّ أَمْرٍ مُّسْتَقِرٌّ ۝٣
Wa kazzaboo wattaba`ooo ahwaaa`ahum; wa kullu amrim mustaqirr
📖 Kwa Kiswahili
Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 1-5 — Al-Qamar

1اقْتَرَبَتِ السَّاعَةُ وَانشَقَّ الْقَمَرُ
Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!
2وَإِن يَرَوْا آيَةً يُعْرِضُوا وَيَقُولُوا سِحْرٌ مُّسْتَمِرٌّ
Na wakiona Ishara hugeuka upande na husema: Huu uchawi tu unazidi kuendelea.
3وَكَذَّبُوا وَاتَّبَعُوا أَهْوَاءَهُمْ ۚ وَكُلُّ أَمْرٍ مُّسْتَقِرٌّ
Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.
4وَلَقَدْ جَاءَهُم مِّنَ الْأَنبَاءِ مَا فِيهِ مُزْدَجَرٌ
Na bila ya shaka zimewajia khabari zenye makaripio.
5حِكْمَةٌ بَالِغَةٌ ۖ فَمَا تُغْنِ النُّذُرُ
Hikima kaamili; lakini maonyo hayafai kitu!
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
3Aya

Tafsiri — Al-Qamar 3

Sura Al-Qamar Aya 3 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni…

Sura Aya 3/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 1–5. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema