Al-Qamar · 41/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
وَلَقَدْ جَاءَ آلَ فِرْعَوْنَ النُّذُرُ ۝٤١
Wa laqad jaaa`a Aala Fir`awnan nuzur
📖 Kwa Kiswahili
Na Waonyaji waliwafikia watu wa Firauni.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 39-43 — Al-Qamar

39فَذُوقُوا عَذَابِي وَنُذُرِ
Basi onjeni adhabu na maonyo yangu!
40وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ
Na hakika tumeisahilisha Qur'ani kuikumbuka. Lakini yupo anaye kumbuka?
41وَلَقَدْ جَاءَ آلَ فِرْعَوْنَ النُّذُرُ
Na Waonyaji waliwafikia watu wa Firauni.
42كَذَّبُوا بِآيَاتِنَا كُلِّهَا فَأَخَذْنَاهُمْ أَخْذَ عَزِيزٍ مُّقْتَدِرٍ
Walizikadhibisha Ishara zetu zote, nasi tukawashika kama anavyo shika Mwenye nguvu Mwenye uweza.
43أَكُفَّارُكُمْ خَيْرٌ مِّنْ أُولَٰئِكُمْ أَمْ لَكُم بَرَاءَةٌ فِي الزُّبُرِ
Je! Makafiri wenu ni bora kuliko hao, au yameandikwa vitabuni kuwa nyinyi hamtiwi makosani?
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
41Aya

Tafsiri — Al-Qamar 41

Sura Al-Qamar Aya 41 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na Waonyaji waliwafikia watu wa Firauni.

Sura Aya 41/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 39–43. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema