Al-Waqi'a · 10/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
وَالسَّابِقُونَ السَّابِقُونَ ۝١٠
Wassaabiqoonas saabiqoon
📖 Kwa Kiswahili
Na wa mbele watakuwa mbele.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 8-12 — Al-Waqi'a

8فَأَصْحَابُ الْمَيْمَنَةِ مَا أَصْحَابُ الْمَيْمَنَةِ
Basi watakuwepo wa kuliani; je, ni wepi wa kuliani?
9وَأَصْحَابُ الْمَشْأَمَةِ مَا أَصْحَابُ الْمَشْأَمَةِ
Na wa kushotoni; je, ni wepi wa kushotoni?
10وَالسَّابِقُونَ السَّابِقُونَ
Na wa mbele watakuwa mbele.
11أُولَٰئِكَ الْمُقَرَّبُونَ
Hao ndio watakao karibishwa
12فِي جَنَّاتِ النَّعِيمِ
Katika Bustani zenye neema.
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
10Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 10

Sura Al-Waqi'a Aya 10 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wa mbele watakuwa mbele.

Sura Aya 10/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 8–12. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema