Al-Waqi'a · 50/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
لَمَجْمُوعُونَ إِلَىٰ مِيقَاتِ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ ۝٥٠
Lamajmoo`oona ilaa meeqaati yawmim ma`loon
📖 Kwa Kiswahili
Bila ya shaka watakusanywa kwa wakati wa siku maalumu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 48-52 — Al-Waqi'a

48أَوَآبَاؤُنَا الْأَوَّلُونَ
Au baba zetu wa zamani?
49قُلْ إِنَّ الْأَوَّلِينَ وَالْآخِرِينَ
Sema: Hakika wa zamani na wa mwisho
50لَمَجْمُوعُونَ إِلَىٰ مِيقَاتِ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ
Bila ya shaka watakusanywa kwa wakati wa siku maalumu.
51ثُمَّ إِنَّكُمْ أَيُّهَا الضَّالُّونَ الْمُكَذِّبُونَ
Kisha nyinyi, mlio potea, mnao kanusha,
52لَآكِلُونَ مِن شَجَرٍ مِّن زَقُّومٍ
Kwa yakini mtakula mti wa Zaqqumu.
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
50Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 50

Sura Al-Waqi'a Aya 50 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Bila ya shaka watakusanywa kwa wakati wa siku maalumu.

Sura Aya 50/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 48–52. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema