Al-Qalam · 37/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
أَمْ لَكُمْ كِتَابٌ فِيهِ تَدْرُسُونَ ۝٣٧
Am lakum kitaabun feehi tadrusoon
📖 Kwa Kiswahili
Au mnacho kitabu ambacho ndani yake mnasoma?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 35-39 — Al-Qalam

35أَفَنَجْعَلُ الْمُسْلِمِينَ كَالْمُجْرِمِينَ
Kwani tutawafanya Waislamu kama wakosefu?
36مَا لَكُمْ كَيْفَ تَحْكُمُونَ
Mna nini? Mnahukumu vipi?
37أَمْ لَكُمْ كِتَابٌ فِيهِ تَدْرُسُونَ
Au mnacho kitabu ambacho ndani yake mnasoma?
38إِنَّ لَكُمْ فِيهِ لَمَا تَخَيَّرُونَ
Kuwa mtapata humo mnayo yapenda?
39أَمْ لَكُمْ أَيْمَانٌ عَلَيْنَا بَالِغَةٌ إِلَىٰ يَوْمِ الْقِيَامَةِ ۙ إِنَّ لَكُمْ لَمَا تَحْكُمُونَ
Au mnazo ahadi za viapo juu yetu za kufika Siku ya Kiyama ya kuwa hakika mtapata kila mnayo jihukumia?
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
37Aya

Tafsiri — Al-Qalam 37

Sura Al-Qalam Aya 37 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Au mnacho kitabu ambacho ndani yake mnasoma?

Sura Aya 37/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 35–39. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema