Al-Qalam · 39/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
أَمْ لَكُمْ أَيْمَانٌ عَلَيْنَا بَالِغَةٌ إِلَىٰ يَوْمِ الْقِيَامَةِ ۙ إِنَّ لَكُمْ لَمَا تَحْكُمُونَ ۝٣٩
Am lakum aymaanun `alainaa baalighatun ilaa yawmil qiyaamati inna lakum lamaa tahkumoon
📖 Kwa Kiswahili
Au mnazo ahadi za viapo juu yetu za kufika Siku ya Kiyama ya kuwa hakika mtapata kila mnayo jihukumia?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 37-41 — Al-Qalam

37أَمْ لَكُمْ كِتَابٌ فِيهِ تَدْرُسُونَ
Au mnacho kitabu ambacho ndani yake mnasoma?
38إِنَّ لَكُمْ فِيهِ لَمَا تَخَيَّرُونَ
Kuwa mtapata humo mnayo yapenda?
39أَمْ لَكُمْ أَيْمَانٌ عَلَيْنَا بَالِغَةٌ إِلَىٰ يَوْمِ الْقِيَامَةِ ۙ إِنَّ لَكُمْ لَمَا تَحْكُمُونَ
Au mnazo ahadi za viapo juu yetu za kufika Siku ya Kiyama ya kuwa hakika mtapata kila mnayo jihukumia?
40سَلْهُمْ أَيُّهُم بِذَٰلِكَ زَعِيمٌ
Waulize: Ni nani miongoni mwao dhamini wa haya?
41أَمْ لَهُمْ شُرَكَاءُ فَلْيَأْتُوا بِشُرَكَائِهِمْ إِن كَانُوا صَادِقِينَ
Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
39Aya

Tafsiri — Al-Qalam 39

Sura Al-Qalam Aya 39 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Au mnazo ahadi za viapo juu yetu za kufika Siku…

Sura Aya 39/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 37–41. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema