Al-Ma'arij · 13/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
وَفَصِيلَتِهِ الَّتِي تُؤْوِيهِ ۝١٣
Wa faseelathil latee tu`weeh
📖 Kwa Kiswahili
Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 11-15 — Al-Ma'arij

11يُبَصَّرُونَهُمْ ۚ يَوَدُّ الْمُجْرِمُ لَوْ يَفْتَدِي مِنْ عَذَابِ يَوْمِئِذٍ بِبَنِيهِ
Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu lau ajikomboe na adhabu ya siku hiyo kwa kuwatoa fidia wanawe,
12وَصَاحِبَتِهِ وَأَخِيهِ
Na mkewe, na nduguye,
13وَفَصِيلَتِهِ الَّتِي تُؤْوِيهِ
Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,
14وَمَن فِي الْأَرْضِ جَمِيعًا ثُمَّ يُنجِيهِ
Na wote waliomo duniani, kisha aokoke yeye.
15كَلَّا ۖ إِنَّهَا لَظَىٰ
La, hasha! Kwa hakika huo ni Moto mkali kabisa,
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
13Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 13

Sura Al-Ma'arij Aya 13 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,

Sura Aya 13/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 11–15. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema