Al-Ma'arij · 14/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
وَمَن فِي الْأَرْضِ جَمِيعًا ثُمَّ يُنجِيهِ ۝١٤
Wa man fil ardi jamee`an summa yunjeeh
📖 Kwa Kiswahili
Na wote waliomo duniani, kisha aokoke yeye.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 12-16 — Al-Ma'arij

12وَصَاحِبَتِهِ وَأَخِيهِ
Na mkewe, na nduguye,
13وَفَصِيلَتِهِ الَّتِي تُؤْوِيهِ
Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,
14وَمَن فِي الْأَرْضِ جَمِيعًا ثُمَّ يُنجِيهِ
Na wote waliomo duniani, kisha aokoke yeye.
15كَلَّا ۖ إِنَّهَا لَظَىٰ
La, hasha! Kwa hakika huo ni Moto mkali kabisa,
16نَزَّاعَةً لِّلشَّوَىٰ
Unao babua ngozi ya kichwa!
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
14Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 14

Sura Al-Ma'arij Aya 14 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wote waliomo duniani, kisha aokoke yeye.

Sura Aya 14/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 12–16. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema