Al-Ma'arij · 12/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
وَصَاحِبَتِهِ وَأَخِيهِ ۝١٢
Wa saahibatihee wa akheeh
📖 Kwa Kiswahili
Na mkewe, na nduguye,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 10-14 — Al-Ma'arij

10وَلَا يَسْأَلُ حَمِيمٌ حَمِيمًا
Wala jamaa hatamuuliza jamaa yake.
11يُبَصَّرُونَهُمْ ۚ يَوَدُّ الْمُجْرِمُ لَوْ يَفْتَدِي مِنْ عَذَابِ يَوْمِئِذٍ بِبَنِيهِ
Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu lau ajikomboe na adhabu ya siku hiyo kwa kuwatoa fidia wanawe,
12وَصَاحِبَتِهِ وَأَخِيهِ
Na mkewe, na nduguye,
13وَفَصِيلَتِهِ الَّتِي تُؤْوِيهِ
Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,
14وَمَن فِي الْأَرْضِ جَمِيعًا ثُمَّ يُنجِيهِ
Na wote waliomo duniani, kisha aokoke yeye.
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
12Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 12

Sura Al-Ma'arij Aya 12 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na mkewe, na nduguye,

Sura Aya 12/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 10–14. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema