Al-Ma'arij · 15/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
كَلَّا ۖ إِنَّهَا لَظَىٰ ۝١٥
Kallaa innahaa lazaa
📖 Kwa Kiswahili
La, hasha! Kwa hakika huo ni Moto mkali kabisa,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 13-17 — Al-Ma'arij

13وَفَصِيلَتِهِ الَّتِي تُؤْوِيهِ
Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,
14وَمَن فِي الْأَرْضِ جَمِيعًا ثُمَّ يُنجِيهِ
Na wote waliomo duniani, kisha aokoke yeye.
15كَلَّا ۖ إِنَّهَا لَظَىٰ
La, hasha! Kwa hakika huo ni Moto mkali kabisa,
16نَزَّاعَةً لِّلشَّوَىٰ
Unao babua ngozi ya kichwa!
17تَدْعُو مَنْ أَدْبَرَ وَتَوَلَّىٰ
Utamwita kila aliye geuza mgongo na akageuka.
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
15Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 15

Sura Al-Ma'arij Aya 15 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : La, hasha! Kwa hakika huo ni Moto mkali kabisa,

Sura Aya 15/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 13–17. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema