Al-Ma'arij · 25/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ ۝٢٥
Lissaaa `ili walmahroom
📖 Kwa Kiswahili
Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
🎧 Sikiliza

📜 Aya 23-27 — Al-Ma'arij

23الَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ دَائِمُونَ
Ambao wanadumisha Sala zao,
24وَالَّذِينَ فِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ مَّعْلُومٌ
Na ambao katika mali yao iko haki maalumu
25لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
26وَالَّذِينَ يُصَدِّقُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ
Na ambao wanaisadiki Siku ya Malipo,
27وَالَّذِينَ هُم مِّنْ عَذَابِ رَبِّهِم مُّشْفِقُونَ
Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
25Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 25

Sura Al-Ma'arij Aya 25 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;

Sura Aya 25/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 23–27. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema