Al-Ma'arij · 37/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
عَنِ الْيَمِينِ وَعَنِ الشِّمَالِ عِزِينَ ۝٣٧
Anil yameeni wa `anish shimaali `izeen
📖 Kwa Kiswahili
Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande wa kushoto!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 35-39 — Al-Ma'arij

35أُولَٰئِكَ فِي جَنَّاتٍ مُّكْرَمُونَ
Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.
36فَمَالِ الَّذِينَ كَفَرُوا قِبَلَكَ مُهْطِعِينَ
Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?
37عَنِ الْيَمِينِ وَعَنِ الشِّمَالِ عِزِينَ
Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande wa kushoto!
38أَيَطْمَعُ كُلُّ امْرِئٍ مِّنْهُمْ أَن يُدْخَلَ جَنَّةَ نَعِيمٍ
Kwani kila mmoja wao anatumai kuingizwa katika Pepo ya neema?
39كَلَّا ۖ إِنَّا خَلَقْنَاهُم مِّمَّا يَعْلَمُونَ
La, hasha! Hakika Sisi tumewaumba kutokana na wanacho kijua.
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
37Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 37

Sura Al-Ma'arij Aya 37 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande wa kushoto!

Sura Aya 37/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 35–39. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema