Nuh · 13/28
Tafsiri Uandishi wa sauti — Nuh
مَّا لَكُمْ لَا تَرْجُونَ لِلَّهِ وَقَارًا ۝١٣
Maa lakum laa tarjoona lillaahi waqaaraa
📖 Kwa Kiswahili
Mna nini hamweki heshima ya Mwenyezi Mungu?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 11-15 — Nuh

11يُرْسِلِ السَّمَاءَ عَلَيْكُم مِّدْرَارًا
Atakuleteeni mvua inyeshe mfululizo.
12وَيُمْدِدْكُم بِأَمْوَالٍ وَبَنِينَ وَيَجْعَل لَّكُمْ جَنَّاتٍ وَيَجْعَل لَّكُمْ أَنْهَارًا
Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.
13مَّا لَكُمْ لَا تَرْجُونَ لِلَّهِ وَقَارًا
Mna nini hamweki heshima ya Mwenyezi Mungu?
14وَقَدْ خَلَقَكُمْ أَطْوَارًا
Na hali Yeye kakuumbeni daraja baada ya daraja?
15أَلَمْ تَرَوْا كَيْفَ خَلَقَ اللَّهُ سَبْعَ سَمَاوَاتٍ طِبَاقًا
Kwani hamwoni jinsi Mwenyezi Mungu alivyo ziumba mbingu saba kwa matabaka?
NuhFaharasa ya Qurani
28Aya
MakkaRevelation
13Aya

Tafsiri — Nuh 13

Sura Nuh Aya 13 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Mna nini hamweki heshima ya Mwenyezi Mungu?

Sura Aya 13/28 — Nuh نوح (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Nuh Sikiliza, Nuh Tafsiri, Nuh mp3, Nuh pdf. Aya 11–15. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema