Al-Qiyama · 15/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
وَلَوْ أَلْقَىٰ مَعَاذِيرَهُ ۝١٥
Wa law alqaa ma`aazeerah
📖 Kwa Kiswahili
Na ingawa atatoa chungu ya udhuru.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 13-17 — Al-Qiyama

13يُنَبَّأُ الْإِنسَانُ يَوْمَئِذٍ بِمَا قَدَّمَ وَأَخَّرَ
Siku hiyo ataambiwa aliyo yatanguliza na aliyo yaakhirisha.
14بَلِ الْإِنسَانُ عَلَىٰ نَفْسِهِ بَصِيرَةٌ
Bali mtu ni hoja juu ya nafsi yake.
15وَلَوْ أَلْقَىٰ مَعَاذِيرَهُ
Na ingawa atatoa chungu ya udhuru.
16لَا تُحَرِّكْ بِهِ لِسَانَكَ لِتَعْجَلَ بِهِ
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
17إِنَّ عَلَيْنَا جَمْعَهُ وَقُرْآنَهُ
Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
15Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 15

Sura Al-Qiyama Aya 15 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ingawa atatoa chungu ya udhuru.

Sura Aya 15/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 13–17. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema