Al-Qiyama · 16/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
لَا تُحَرِّكْ بِهِ لِسَانَكَ لِتَعْجَلَ بِهِ ۝١٦
Laa tuharrik bihee lisaa naka lita`jala bih
📖 Kwa Kiswahili
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 14-18 — Al-Qiyama

14بَلِ الْإِنسَانُ عَلَىٰ نَفْسِهِ بَصِيرَةٌ
Bali mtu ni hoja juu ya nafsi yake.
15وَلَوْ أَلْقَىٰ مَعَاذِيرَهُ
Na ingawa atatoa chungu ya udhuru.
16لَا تُحَرِّكْ بِهِ لِسَانَكَ لِتَعْجَلَ بِهِ
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
17إِنَّ عَلَيْنَا جَمْعَهُ وَقُرْآنَهُ
Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
18فَإِذَا قَرَأْنَاهُ فَاتَّبِعْ قُرْآنَهُ
Tunapo usoma, basi nawe fuatiliza kusoma kwake.
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
16Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 16

Sura Al-Qiyama Aya 16 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.

Sura Aya 16/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 14–18. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema