Al-Qiyama · 4/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
بَلَىٰ قَادِرِينَ عَلَىٰ أَن نُّسَوِّيَ بَنَانَهُ ۝٤
Balaa qaadireena `alaaa an nusawwiya banaanah
📖 Kwa Kiswahili
Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 2-6 — Al-Qiyama

2وَلَا أُقْسِمُ بِالنَّفْسِ اللَّوَّامَةِ
Na ninaapa kwa nafsi inayo jilaumu!
3أَيَحْسَبُ الْإِنسَانُ أَلَّن نَّجْمَعَ عِظَامَهُ
Anadhani mtu kuwa Sisi hatutaikusanya mifupa yake?
4بَلَىٰ قَادِرِينَ عَلَىٰ أَن نُّسَوِّيَ بَنَانَهُ
Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
5بَلْ يُرِيدُ الْإِنسَانُ لِيَفْجُرَ أَمَامَهُ
Lakini mtu anataka tu kuendelea na maasi kwa siku zilioko mbele yake.
6يَسْأَلُ أَيَّانَ يَوْمُ الْقِيَامَةِ
Anauliza: Lini itakuwa hiyo Siku ya Kiyama?
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
4Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 4

Sura Al-Qiyama Aya 4 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole…

Sura Aya 4/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 2–6. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema