Al-Insan · 10/31
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Insan
إِنَّا نَخَافُ مِن رَّبِّنَا يَوْمًا عَبُوسًا قَمْطَرِيرًا ۝١٠
Innaa nakhaafu mir Rabbinna Yawman `aboosan qamtareeraa
📖 Kwa Kiswahili
Hakika sisi tunaiogopa kwa Mola wetu Mlezi hiyo siku yenye shida na taabu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 8-12 — Al-Insan

8وَيُطْعِمُونَ الطَّعَامَ عَلَىٰ حُبِّهِ مِسْكِينًا وَيَتِيمًا وَأَسِيرًا
Na huwalisha chakula, juu ya kukipenda kwake, masikini, na yatima, na wafungwa.
9إِنَّمَا نُطْعِمُكُمْ لِوَجْهِ اللَّهِ لَا نُرِيدُ مِنكُمْ جَزَاءً وَلَا شُكُورًا
Hakika sisi tunakulisheni kwa wajihi wa Mwenyezi Mungu. Hatutaki kwenu malipo wala shukrani.
10إِنَّا نَخَافُ مِن رَّبِّنَا يَوْمًا عَبُوسًا قَمْطَرِيرًا
Hakika sisi tunaiogopa kwa Mola wetu Mlezi hiyo siku yenye shida na taabu.
11فَوَقَاهُمُ اللَّهُ شَرَّ ذَٰلِكَ الْيَوْمِ وَلَقَّاهُمْ نَضْرَةً وَسُرُورًا
Basi Mwenyezi Mungu atawalinda na shari ya siku hiyo, na atawakutanisha na raha na furaha.
12وَجَزَاهُم بِمَا صَبَرُوا جَنَّةً وَحَرِيرًا
Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.
Al-InsanFaharasa ya Qurani
31Aya
MadinaRevelation
10Aya

Tafsiri — Al-Insan 10

Sura Al-Insan Aya 10 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika sisi tunaiogopa kwa Mola wetu Mlezi hiyo siku yenye…

Sura Aya 10/31 — Al-Insan الإنسان (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Insan Sikiliza, Al-Insan Tafsiri, Al-Insan mp3, Al-Insan pdf. Aya 8–12. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema