An-Naba · 13/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
وَجَعَلْنَا سِرَاجًا وَهَّاجًا ۝١٣
Waja`alna siraajaw wah haaja
📖 Kwa Kiswahili
Na tukaifanya taa yenye mwanga na joto;
🎧 Sikiliza

📜 Aya 11-15 — An-Naba

11وَجَعَلْنَا النَّهَارَ مَعَاشًا
Na tukaufanya mchana ni wa kuchumia maisha?
12وَبَنَيْنَا فَوْقَكُمْ سَبْعًا شِدَادًا
Na tukajenga juu yenu saba zenye nguvu?
13وَجَعَلْنَا سِرَاجًا وَهَّاجًا
Na tukaifanya taa yenye mwanga na joto;
14وَأَنزَلْنَا مِنَ الْمُعْصِرَاتِ مَاءً ثَجَّاجًا
Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,
15لِّنُخْرِجَ بِهِ حَبًّا وَنَبَاتًا
Ili tutoe kwayo nafaka na mimea,
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
13Aya

Tafsiri — An-Naba 13

Sura An-Naba Aya 13 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tukaifanya taa yenye mwanga na joto;

Sura Aya 13/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 11–15. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema