Al-Infitar · 18/19
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Infitar
ثُمَّ مَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الدِّينِ ۝١٨
Summa maaa adraaka maa Yawmud Deen
📖 Kwa Kiswahili
Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 16-19 — Al-Infitar

16وَمَا هُمْ عَنْهَا بِغَائِبِينَ
Na hawatoacha kuwamo humo.
17وَمَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الدِّينِ
Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
18ثُمَّ مَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الدِّينِ
Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
19يَوْمَ لَا تَمْلِكُ نَفْسٌ لِّنَفْسٍ شَيْئًا ۖ وَالْأَمْرُ يَوْمَئِذٍ لِّلَّهِ
Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo ni ya Mwenyezi Mungu tu.
Al-InfitarFaharasa ya Qurani
19Aya
MakkaRevelation
18Aya

Tafsiri — Al-Infitar 18

Sura Al-Infitar Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?

Sura Aya 18/19 — Al-Infitar الإنفطار (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Infitar Sikiliza, Al-Infitar Tafsiri, Al-Infitar mp3, Al-Infitar pdf. Aya 16–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema