Al-Infitar · 19/19
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Infitar
يَوْمَ لَا تَمْلِكُ نَفْسٌ لِّنَفْسٍ شَيْئًا ۖ وَالْأَمْرُ يَوْمَئِذٍ لِّلَّهِ ۝١٩
Yawma laa tamliku nafsul linafsin shai`anw walamru yawma`izil lillaah
📖 Kwa Kiswahili
Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo ni ya Mwenyezi Mungu tu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 17-19 — Al-Infitar

17وَمَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الدِّينِ
Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
18ثُمَّ مَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الدِّينِ
Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
19يَوْمَ لَا تَمْلِكُ نَفْسٌ لِّنَفْسٍ شَيْئًا ۖ وَالْأَمْرُ يَوْمَئِذٍ لِّلَّهِ
Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo ni ya Mwenyezi Mungu tu.
Al-InfitarFaharasa ya Qurani
19Aya
MakkaRevelation
19Aya

Tafsiri — Al-Infitar 19

Sura Al-Infitar Aya 19 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi;…

Sura Aya 19/19 — Al-Infitar الإنفطار (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Infitar Sikiliza, Al-Infitar Tafsiri, Al-Infitar mp3, Al-Infitar pdf. Aya 17–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema