Al-Infitar · 17/19
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Infitar
وَمَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الدِّينِ ۝١٧
Wa maaa adraaka maa Yawmud Deen
📖 Kwa Kiswahili
Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 15-19 — Al-Infitar

15يَصْلَوْنَهَا يَوْمَ الدِّينِ
Wataingia humo Siku ya Malipo.
16وَمَا هُمْ عَنْهَا بِغَائِبِينَ
Na hawatoacha kuwamo humo.
17وَمَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الدِّينِ
Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
18ثُمَّ مَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الدِّينِ
Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
19يَوْمَ لَا تَمْلِكُ نَفْسٌ لِّنَفْسٍ شَيْئًا ۖ وَالْأَمْرُ يَوْمَئِذٍ لِّلَّهِ
Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo ni ya Mwenyezi Mungu tu.
Al-InfitarFaharasa ya Qurani
19Aya
MakkaRevelation
17Aya

Tafsiri — Al-Infitar 17

Sura Al-Infitar Aya 17 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?

Sura Aya 17/19 — Al-Infitar الإنفطار (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Infitar Sikiliza, Al-Infitar Tafsiri, Al-Infitar mp3, Al-Infitar pdf. Aya 15–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema