Ash-Shams · 8/15
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shams
فَأَلۡهَمَهَا فُجُورَهَا وَتَقۡوَىٰهَا  ۝٨
Fa-alhamahaa fujoorahaa wa taqwaahaa
📖 Kwa Kiswahili
Kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 6-10 — Ash-Shams

6وَٱلۡأَرۡضِ وَمَا طَحَىٰهَا 
Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza!
7وَنَفۡسٍ وَمَا سَوَّىٰهَا 
Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!
8فَأَلۡهَمَهَا فُجُورَهَا وَتَقۡوَىٰهَا 
Kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake,
9قَدۡ أَفۡلَحَ مَن زَكَّىٰهَا 
Hakika amefanikiwa aliye itakasa,
10وَقَدۡ خَابَ مَن دَسَّىٰهَا 
Na hakika amekhasiri aliye iviza.
Ash-ShamsFaharasa ya Qurani
15Aya
MakkaRevelation
8Aya

Tafsiri — Ash-Shams 8

Sura Aya 8/15 — Ash-Shams الشمس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shams Sikiliza, Ash-Shams Tafsiri, Ash-Shams mp3, Ash-Shams pdf. Aya 6–10. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema