Al-Layl · 19/21
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Layl
وَمَا لِأَحَدٍ عِندَهُ مِن نِّعْمَةٍ تُجْزَىٰ ۝١٩
Wa maa li ahadin `indahoo min ni`matin tujzaaa
📖 Kwa Kiswahili
Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 17-21 — Al-Layl

17وَسَيُجَنَّبُهَا الْأَتْقَى
Na mchamngu ataepushwa nao,
18الَّذِي يُؤْتِي مَالَهُ يَتَزَكَّىٰ
Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
19وَمَا لِأَحَدٍ عِندَهُ مِن نِّعْمَةٍ تُجْزَىٰ
Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa.
20إِلَّا ابْتِغَاءَ وَجْهِ رَبِّهِ الْأَعْلَىٰ
Ila ni kutaka radhi ya Mola wake Mlezi aliye juu kabisa.
21وَلَسَوْفَ يَرْضَىٰ
Naye atakuja ridhika!
Al-LaylFaharasa ya Qurani
21Aya
MakkaRevelation
19Aya

Tafsiri — Al-Layl 19

Sura Al-Layl Aya 19 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani…

Sura Aya 19/21 — Al-Layl الليل (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Layl Sikiliza, Al-Layl Tafsiri, Al-Layl mp3, Al-Layl pdf. Aya 17–21. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema