Al-Layl · 18/21
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Layl
الَّذِي يُؤْتِي مَالَهُ يَتَزَكَّىٰ ۝١٨
Allazee yu`tee maalahoo yatazakkaa
📖 Kwa Kiswahili
Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 16-20 — Al-Layl

16الَّذِي كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ
Anaye kadhibisha na kupa mgongo.
17وَسَيُجَنَّبُهَا الْأَتْقَى
Na mchamngu ataepushwa nao,
18الَّذِي يُؤْتِي مَالَهُ يَتَزَكَّىٰ
Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
19وَمَا لِأَحَدٍ عِندَهُ مِن نِّعْمَةٍ تُجْزَىٰ
Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa.
20إِلَّا ابْتِغَاءَ وَجْهِ رَبِّهِ الْأَعْلَىٰ
Ila ni kutaka radhi ya Mola wake Mlezi aliye juu kabisa.
Al-LaylFaharasa ya Qurani
21Aya
MakkaRevelation
18Aya

Tafsiri — Al-Layl 18

Sura Al-Layl Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.

Sura Aya 18/21 — Al-Layl الليل (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Layl Sikiliza, Al-Layl Tafsiri, Al-Layl mp3, Al-Layl pdf. Aya 16–20. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema