Al-Layl · 20/21
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Layl
إِلَّا ابْتِغَاءَ وَجْهِ رَبِّهِ الْأَعْلَىٰ ۝٢٠
Illab tighaaa`a wajhi rabbihil a `laa
📖 Kwa Kiswahili
Ila ni kutaka radhi ya Mola wake Mlezi aliye juu kabisa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 18-21 — Al-Layl

18الَّذِي يُؤْتِي مَالَهُ يَتَزَكَّىٰ
Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
19وَمَا لِأَحَدٍ عِندَهُ مِن نِّعْمَةٍ تُجْزَىٰ
Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa.
20إِلَّا ابْتِغَاءَ وَجْهِ رَبِّهِ الْأَعْلَىٰ
Ila ni kutaka radhi ya Mola wake Mlezi aliye juu kabisa.
21وَلَسَوْفَ يَرْضَىٰ
Naye atakuja ridhika!
Al-LaylFaharasa ya Qurani
21Aya
MakkaRevelation
20Aya

Tafsiri — Al-Layl 20

Sura Al-Layl Aya 20 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ila ni kutaka radhi ya Mola wake Mlezi aliye juu…

Sura Aya 20/21 — Al-Layl الليل (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Layl Sikiliza, Al-Layl Tafsiri, Al-Layl mp3, Al-Layl pdf. Aya 18–21. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema