Al-Hijr · 14/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
وَلَوْ فَتَحْنَا عَلَيْهِم بَابًا مِّنَ السَّمَاءِ فَظَلُّوا فِيهِ يَعْرُجُونَ ۝١٤
Wa law fatahnaa `alaihim baabam minas samaaa`i fazaloo feehi ya`rujoon
📖 Kwa Kiswahili
Na lau tungeli wafungulia mlango wa mbingu, wakawa wanapanda,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 12-16 — Al-Hijr

12كَذَٰلِكَ نَسْلُكُهُ فِي قُلُوبِ الْمُجْرِمِينَ
Na kama hivi ndivyo tunavyo ingiza katika nyoyo za wakosefu.
13لَا يُؤْمِنُونَ بِهِ ۖ وَقَدْ خَلَتْ سُنَّةُ الْأَوَّلِينَ
Hawayaamini haya, na hali ya kuwa umekwisha wapitia mfano wa watu wa kale.
14وَلَوْ فَتَحْنَا عَلَيْهِم بَابًا مِّنَ السَّمَاءِ فَظَلُّوا فِيهِ يَعْرُجُونَ
Na lau tungeli wafungulia mlango wa mbingu, wakawa wanapanda,
15لَقَالُوا إِنَّمَا سُكِّرَتْ أَبْصَارُنَا بَلْ نَحْنُ قَوْمٌ مَّسْحُورُونَ
Basi wangeli sema: Macho yetu yamelevywa, bali sisi wenyewe tumerogwa.
16وَلَقَدْ جَعَلْنَا فِي السَّمَاءِ بُرُوجًا وَزَيَّنَّاهَا لِلنَّاظِرِينَ
Na hakika tumeweka katika mbingu vituo vya sayari, na tumezipamba kwa wenye kuangalia.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
14Aya

Tafsiri — Al-Hijr 14

Sura Al-Hijr Aya 14 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na lau tungeli wafungulia mlango wa mbingu, wakawa wanapanda,

Sura Aya 14/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 12–16. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema