Al-Hijr · 13/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
لَا يُؤْمِنُونَ بِهِ ۖ وَقَدْ خَلَتْ سُنَّةُ الْأَوَّلِينَ ۝١٣
Laa yu`minoona bihee wa qad khalat sunnatul awwaleen
📖 Kwa Kiswahili
Hawayaamini haya, na hali ya kuwa umekwisha wapitia mfano wa watu wa kale.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 11-15 — Al-Hijr

11وَمَا يَأْتِيهِم مِّن رَّسُولٍ إِلَّا كَانُوا بِهِ يَسْتَهْزِئُونَ
Na hakuwafikia Mtume ila walimkejeli.
12كَذَٰلِكَ نَسْلُكُهُ فِي قُلُوبِ الْمُجْرِمِينَ
Na kama hivi ndivyo tunavyo ingiza katika nyoyo za wakosefu.
13لَا يُؤْمِنُونَ بِهِ ۖ وَقَدْ خَلَتْ سُنَّةُ الْأَوَّلِينَ
Hawayaamini haya, na hali ya kuwa umekwisha wapitia mfano wa watu wa kale.
14وَلَوْ فَتَحْنَا عَلَيْهِم بَابًا مِّنَ السَّمَاءِ فَظَلُّوا فِيهِ يَعْرُجُونَ
Na lau tungeli wafungulia mlango wa mbingu, wakawa wanapanda,
15لَقَالُوا إِنَّمَا سُكِّرَتْ أَبْصَارُنَا بَلْ نَحْنُ قَوْمٌ مَّسْحُورُونَ
Basi wangeli sema: Macho yetu yamelevywa, bali sisi wenyewe tumerogwa.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
13Aya

Tafsiri — Al-Hijr 13

Sura Al-Hijr Aya 13 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hawayaamini haya, na hali ya kuwa umekwisha wapitia mfano wa…

Sura Aya 13/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 11–15. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema