Al-Hijr · 38/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
إِلَىٰ يَوْمِ الْوَقْتِ الْمَعْلُومِ ۝٣٨
Ilaa Yawmil waqtil ma`loom
📖 Kwa Kiswahili
Mpaka siku ya wakati maalumu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 36-40 — Al-Hijr

36قَالَ رَبِّ فَأَنظِرْنِي إِلَىٰ يَوْمِ يُبْعَثُونَ
Akasema (Iblisi): Mola wangu Mlezi! Nipe muhula mpaka siku watapo fufuliwa.
37قَالَ فَإِنَّكَ مِنَ الْمُنظَرِينَ
(Mwenyezi Mungu) akasema: Hakika wewe ni katika walio pewa muhula
38إِلَىٰ يَوْمِ الْوَقْتِ الْمَعْلُومِ
Mpaka siku ya wakati maalumu.
39قَالَ رَبِّ بِمَا أَغْوَيْتَنِي لَأُزَيِّنَنَّ لَهُمْ فِي الْأَرْضِ وَلَأُغْوِيَنَّهُمْ أَجْمَعِينَ
Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
40إِلَّا عِبَادَكَ مِنْهُمُ الْمُخْلَصِينَ
Ila waja wako walio safika.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
38Aya

Tafsiri — Al-Hijr 38

Sura Al-Hijr Aya 38 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Mpaka siku ya wakati maalumu.

Sura Aya 38/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 36–40. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema