Al-Hijr · 39/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
قَالَ رَبِّ بِمَا أَغْوَيْتَنِي لَأُزَيِّنَنَّ لَهُمْ فِي الْأَرْضِ وَلَأُغْوِيَنَّهُمْ أَجْمَعِينَ ۝٣٩
Qaala Rabbi bimaaa aghwaitanee la uzayyinaana lahum fil ardi wa la ughwiyan nahum ajma`een
📖 Kwa Kiswahili
Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 37-41 — Al-Hijr

37قَالَ فَإِنَّكَ مِنَ الْمُنظَرِينَ
(Mwenyezi Mungu) akasema: Hakika wewe ni katika walio pewa muhula
38إِلَىٰ يَوْمِ الْوَقْتِ الْمَعْلُومِ
Mpaka siku ya wakati maalumu.
39قَالَ رَبِّ بِمَا أَغْوَيْتَنِي لَأُزَيِّنَنَّ لَهُمْ فِي الْأَرْضِ وَلَأُغْوِيَنَّهُمْ أَجْمَعِينَ
Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
40إِلَّا عِبَادَكَ مِنْهُمُ الْمُخْلَصِينَ
Ila waja wako walio safika.
41قَالَ هَٰذَا صِرَاطٌ عَلَيَّ مُسْتَقِيمٌ
Akasema: Hii Njia ya kujia kwangu Iliyo Nyooka.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
39Aya

Tafsiri — Al-Hijr 39

Sura Al-Hijr Aya 39 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha…

Sura Aya 39/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 37–41. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema