Al-Hijr · 37/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
قَالَ فَإِنَّكَ مِنَ الْمُنظَرِينَ ۝٣٧
Qaala fa innaka minal munzareen
📖 Kwa Kiswahili
(Mwenyezi Mungu) akasema: Hakika wewe ni katika walio pewa muhula

🎧 Sikiliza


📜 Aya 35-39 — Al-Hijr

35وَإِنَّ عَلَيْكَ اللَّعْنَةَ إِلَىٰ يَوْمِ الدِّينِ
Na hakika juu yako ipo laana mpaka Siku ya Malipo.
36قَالَ رَبِّ فَأَنظِرْنِي إِلَىٰ يَوْمِ يُبْعَثُونَ
Akasema (Iblisi): Mola wangu Mlezi! Nipe muhula mpaka siku watapo fufuliwa.
37قَالَ فَإِنَّكَ مِنَ الْمُنظَرِينَ
(Mwenyezi Mungu) akasema: Hakika wewe ni katika walio pewa muhula
38إِلَىٰ يَوْمِ الْوَقْتِ الْمَعْلُومِ
Mpaka siku ya wakati maalumu.
39قَالَ رَبِّ بِمَا أَغْوَيْتَنِي لَأُزَيِّنَنَّ لَهُمْ فِي الْأَرْضِ وَلَأُغْوِيَنَّهُمْ أَجْمَعِينَ
Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
37Aya

Tafsiri — Al-Hijr 37

Sura Al-Hijr Aya 37 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : (Mwenyezi Mungu) akasema: Hakika wewe ni katika walio pewa muhula

Sura Aya 37/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 35–39. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Wednesday, August 19, 2026

Usitusahau katika dua zako njema